MASHAMBULIZI YA MAGAIDI WA ALSHABAAB YAONGEZEKA KATIKA KAUNTI ZA KASKAZINI MASHIRIKI MWA TAIFA HILI.
Wanamgambo wa Alshabaa wamemuuwa afisa mkuu wa polisi wa akiba katika kaunti ya Mandera, siku moja baada ya magaidi hao kushambulia kambi ya polisi hao kaunti ya Garissa. Afisa huyo ambaye pia ni mkuu wa usalama katika afisi ya gavana wa kaunti hiyo ya Mandera, Mohammed Adan Khalif, alikumbana na mauti yake baada ya magaidi […]



