TONNY NGALA

KANISA LA KIANGLIKANA LAWANYIMA WANASIASA FURSA YA KUHUTUBIA WAUMINI.

Kwa juma la pili sasa wanasiasa akiwemo aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua, wamenyimwa fursa ya kuwahutubia waumini wa kanisa la kianglikana. Hapo jana, walipofika kuhudhuria ibada ya kutawazwa kwa askofu mpya wa dayosisi ya kianglikana mlima kenya Magharibi Gerald Muriithi, Gachagwa ambaye alikuwa ameandamana na wandani wake, ambao ni pamoja na kinara wa chama cha […]

KANISA LA KIANGLIKANA LAWANYIMA WANASIASA FURSA YA KUHUTUBIA WAUMINI. Read More »

WAPWANI WAPONGEZA UTEUZI WA FIKIRINI JACOBS KWENYE WADHIFA WA KATIBU KATIKA SERIKALI KUU.

Gavana wa kaunti ya Kilifi amejiunga na wakaazi wengine wa kaunti hii, katika kumpongeza kiongozi wa vijana kwenye chama cha ODM, kaunti ya Kilifi, Fikirini Jacobs kwa kuteuliwa kuwa katibu wa idara ya vijana na michezo kwenye serikali kuu. Akizungumza na waandishi wa habari, gavana Mung’aro amempongeza Fikirini pamoja na Profesa Abdulrazak Shaukat, mkaazi wa

WAPWANI WAPONGEZA UTEUZI WA FIKIRINI JACOBS KWENYE WADHIFA WA KATIBU KATIKA SERIKALI KUU. Read More »