KANISA LA KIANGLIKANA LAWANYIMA WANASIASA FURSA YA KUHUTUBIA WAUMINI.
Kwa juma la pili sasa wanasiasa akiwemo aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua, wamenyimwa fursa ya kuwahutubia waumini wa kanisa la kianglikana. Hapo jana, walipofika kuhudhuria ibada ya kutawazwa kwa askofu mpya wa dayosisi ya kianglikana mlima kenya Magharibi Gerald Muriithi, Gachagwa ambaye alikuwa ameandamana na wandani wake, ambao ni pamoja na kinara wa chama cha […]
KANISA LA KIANGLIKANA LAWANYIMA WANASIASA FURSA YA KUHUTUBIA WAUMINI. Read More »



