TONNY NGALA

KAMPUNI YA MAJI, MAWASCO YATAKIWA KUKABILIANA NA VISA VYA WIZI WA MAJI.

Kamati inayoangazia uwekezaji kwenye serikali za kaunti nchini katika bunge la seneti, imeelezea kuridhishwa na mikakati iliyowekwa na kampuni ya kusambaza maji eneo la Malindi, Mawasco, ili kuongeza mapato yake. Kulingana na mwenyekiti wa kamati hiyo, ambaye pia ni seneta wa kaunti ya Vihigha, Godfrey Osotsi, kampuni ya mawasco imeorodheshwa kuwa kati ya kampuni za […]

KAMPUNI YA MAJI, MAWASCO YATAKIWA KUKABILIANA NA VISA VYA WIZI WA MAJI. Read More »

WITO WA UMOJA WATOLEWA KWA VIONGOZI NA WANANCHI KAUNTI YA KWALE.

Wanasiasa Kaunti ya Kwale wameomba jamii katika eneo hilo, kuweka Kando tofauti zao na kushirikiana na viongozi walio mamlakani. Wakiongozwa na mwakilikishi wadi wa Kasemeni Victor Safari Nyanja, amesema kwamba maeneo mengi ya Kaunti hiyo yamekosa maendeleo kutoka kwa serikali kuu, kutokana na hatua ya baadhi ya viongozi kupinga uongozi walioko mamlakani kitaifa. Akihutubia jamii

WITO WA UMOJA WATOLEWA KWA VIONGOZI NA WANANCHI KAUNTI YA KWALE. Read More »

MARTHA KARUA AWATAKA WAKENYA KUCHAGUA RAIS WA KIKE MWAKA 2027.

Kiongozi wa chama cha PLP (Peoples Liberation Party), Martha Karua amewataka wakenya kujaribu uongozi wa wanawake katika nafasi ya urais mwaka 2027. Kulingana na Karua kwa mda mrefu, wakenya wamekuwa wakiunga mkono wanaume ambao wamekosa kuwatekelezea maendeleo kama inavyostahili. Akizungumza kula kaunti ya Isiolo, Karua ametangaza kuwa atawania urais mwaka 2027 na hivyo kutoa wito

MARTHA KARUA AWATAKA WAKENYA KUCHAGUA RAIS WA KIKE MWAKA 2027. Read More »