TONNY NGALA

RAILA ODINGA AAHIDI KUSAIDIA JAMII YA KWALE KUPATA HAKI DHIDI YA MZOZO WA ARDHI YA MSIKITI CONGO.

Kinara wa ODM, Raila Odinga sasa anatisha kuwasilisha kesi mahakamani kuhusu utata uliogubika msikiti wa Congo kule kaunti ya Kwale. Raila aliyezuru eneo hilo, amekashifu mipango ya baadhi ya watu aliowataja kuwa matapeli kujaribu kuinyakua ardhi hiyo ya ekari 16, iliyo na msikiti wa jadi wa Congo. Raila amesema alitenga ardhi hiyo alipokuwa Waziri Mkuu […]

RAILA ODINGA AAHIDI KUSAIDIA JAMII YA KWALE KUPATA HAKI DHIDI YA MZOZO WA ARDHI YA MSIKITI CONGO. Read More »

ASKOFU MKUU WA KATOLIKI ENEO LA PWANI MARTIN KIVUVA AKASHIFU HATUA YA SERIKALI KUCHUKUA MIKOPO.

Askofu Mkuu wa Dayosisi ya Mombasa Martin Kivuva ameelezea wasiwasi wa kenya kushindwa kulipa madeni yake kwa mataifa na mashirika yaliyo toa mikopo kwa taifa hili. Kulingana na Askofu Kivuva, deni la kenya kwa sasa limepita kipimo cha kawaida na hivyo serikali ya kitaifa, inapaswa kweka mpango wa kusitisha shughuli za kuchukua mikopo. Akizungumza katika

ASKOFU MKUU WA KATOLIKI ENEO LA PWANI MARTIN KIVUVA AKASHIFU HATUA YA SERIKALI KUCHUKUA MIKOPO. Read More »

ZAIDI YA VIJANA ELFU NNE KAUNTI YA KWALE WADAIWA KUWA KATIKA HATARI YA KUPATA VIRUSI VYA UKIMWI.

Zaidi ya vijana 4,000 wanaotumia dawa za kulevya katika kaunti ya Kwale, wako kwenye hatari ya kuambukizwa na hata kueneza maambukizi ya virusi ya Ukimwi. Haya ni kutokana na kusitishwa kwa ufadhili wa mipango ya kupunguza maambukizi hayo na shirika la misaada la Marekani – USAID na hazina ya Global Fund, ambayo imewasaidia kupata sindano mpya

ZAIDI YA VIJANA ELFU NNE KAUNTI YA KWALE WADAIWA KUWA KATIKA HATARI YA KUPATA VIRUSI VYA UKIMWI. Read More »