TONNY NGALA

GAVANA WA KAUNTI YA KIAMBU APINGA MADAI YA KUSHIRIKI UFISADI.

Gavana wa kaunti ya Kiambu, Kimani Wamatangi amesema kuwa hatua yake kukamatwa na maafisa wa tume ya maadili na kupambana na ufisadi nchini EACC ni njama ya kumhangaisha na kujumu siasa zake. Kulingana na gavana huyo, alipokea simu kutoka na mmoja wa wanasiasa wakuu katika taifa hili, ambaye aliahidi kumhangaisha iwapo hatakubaliana na matakwa yake. […]

GAVANA WA KAUNTI YA KIAMBU APINGA MADAI YA KUSHIRIKI UFISADI. Read More »

GACHAGWA AONGOZA MRENGO WA UPINZANI KATIKA KUKASHIFU SERIKALI YA RAIS WILLIAM RUTO.

Viongozi wa upanzani nchini wakiongozwa na aliyekuwa naibu wa rais Rigathi Gachagwa, amemsuta rais William Ruto kwa kuchangia matatizo mbali mbali ya wakenya. Kulingana na viongozi hao, tayari wameanza mikakati ya kuhakikisha kuwa wanaungana pamoja na kumuondoa rais William Ruto mamlakani, kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2027. Gachagwa amesema amewataka wakenya kutokubali kuhadaiwa na serikali

GACHAGWA AONGOZA MRENGO WA UPINZANI KATIKA KUKASHIFU SERIKALI YA RAIS WILLIAM RUTO. Read More »

SERIKALI YA KITAIFA YAPANIA KUNUNUA MAGARI ELFU TANO YA MAAFISA WA POLISI KITAIFA.

Waziri wa usalama wa ndani Kipchumba Murkomen, amesema kuwa serikali inapania kununua magari elfu tano, yatakayo kabidhiwa maafisa wa polisi. Kulingana na Murkomen, idadi kubwa ya majukumu ya maafisa wa polisi katika taifa hili, yamekosa kufanikishwa kutokana na ukosefu wa usafiri. Akizungumza hapa kaunti ya Kilifi, waziri huyo amesema pia kuna haja ya matatizo ya

SERIKALI YA KITAIFA YAPANIA KUNUNUA MAGARI ELFU TANO YA MAAFISA WA POLISI KITAIFA. Read More »