KAUNTI 11 ZARIPOTI MKURUPUKO WA KIPINDUPINDU.
Wizara ya afya nchini, imetoa hakikisho la kukabiliana na mkurupuko wa maradhi ya kipindupindu katika kaunti 11 za taifa hili. Katibu katika wizara ya afya nchini Daktari Mary Muthoni, amesema kuwa kufikia sasa visa 97 vya watu walioaga dunia, baada ya kuugua maradhi hayo vimeripotiwa kitaifa. Katibu huyo amesema kuwa pia wanaendeleza juhudi za kuwasaka […]
KAUNTI 11 ZARIPOTI MKURUPUKO WA KIPINDUPINDU. Read More »



