TONNY NGALA

FAMILIA YA MAREHEMU MWAKILISHI WADI YA KARIOBANGI KASKAZINI KAUNTI YA NAIROBI YASUBURU UPASUAJI KUFANYIKA LEO.

Upasuaji wa maiti ya mwakilishi wadi wa Kariobangi Kaskazini, kaunti ya Nairobi, Joel Munuve, utafanyika leo katika juhudi za kutaka kubaini kiini cha kifo chake. Familia ya marehemu mwanasiasa huyo, kupitia kwa wakili Dunston Omari, ilitaka upasuaji kufanyika ili kuondoa uvumi unaozagaa kuhusiana na chanzo cha kifo chake. Idara ya DCI pia, imeingilia kati uchunguzi […]

FAMILIA YA MAREHEMU MWAKILISHI WADI YA KARIOBANGI KASKAZINI KAUNTI YA NAIROBI YASUBURU UPASUAJI KUFANYIKA LEO. Read More »

DENI LA SHA KWA SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI LATISHIA KULEMAZA HUDUMA ZA AFYA.

Wito umetolewa kwa bunge la seneti kusaidia serikali ya kaunti ya Kilifi kupokea malipo yake ya zaidi ya shilingi milioni mia tatu, kutoka kwa bima ya afya ya zamani NHIF na ile ya sasa ya SHIF. Kulingana na gavana wa kaunti ya Kilifi, Gideon Maitha Mung’aro, licha ya wakaazi wa kaunti ya Kilifi kuendelea kupokea

DENI LA SHA KWA SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI LATISHIA KULEMAZA HUDUMA ZA AFYA. Read More »

SERIKALI KUU YATAKIWA KUWAPANDISHA VYEO POLISI KAUNTI YA LAMU.

Gavana wa Kaunti ya Lamu Isaa Abdallah Timammy amewataka maafisa wa polisi waliohudumu kwa muda mrefu Kaunti hiyo kuhamishwa. Timammy akidokeza kuwa maafisa hao, hupitia wakati mgumu, kwani wakati mwingi wamekuwa wakikabiliana na magaidi wa Alshabaab. Gavana huyo ameongeza kuwa maafisa hao wanafaa kupandishwa vyeo ili kunufaika na jitihada zao za kuhakikishia wananchi wa kaunti

SERIKALI KUU YATAKIWA KUWAPANDISHA VYEO POLISI KAUNTI YA LAMU. Read More »