MBUNGE WA ENEO LA KASIPUL KAUNTI YA HOMA BAY ONG’ONDO WERE AAGA DUNIA BAADA YA KUPIGWA RISASI.
Wizara ya usalama nchini imewahakikishia wakenya kuwa itafanikisha uchunguzi dhidi ya kifo cha mbunge wa Kasipul, kaunti ya Homa Baya Charles Ong’ondo Were. Bunge Ong’ondo Were aliaga dunia jana saa moja unusu usiku, baada ya kupigwa risasi na watu wasiojulikana, wakiwa juu ya pikipiki, katika mzunguko uliokaribu na makafani ya City Motuary kaunti ya Nairobi, […]



