TONNY NGALA

FRED MATIANG’I ASISITIZA WAKENYA KUDUMISHA AMANI.

Aliyekuwa waziri wa usalama nchini Dkrt Fred Matiang’I, amewaonya wakenya dhidi ya kuchochewa na wanasiasa kuendeleza hasama kati yao. Kulingana na Matiang’I, wakenya wanapaswa kudumisha umoja na kuendelea kuwa na imani ya kubadilika kwa hali ngumu za kiuchumi, ambazo zimeendelea kukumba taifa hili kwa sasa. Aidha, kiongozi huyo ambaye ametangaza nia yake ya kuwania urais […]

FRED MATIANG’I ASISITIZA WAKENYA KUDUMISHA AMANI. Read More »

SHIRIKA LA MUHURI LAKASHIFU MAUAJI YA MBUNGE WA KASIPUL KAUNTI YA HOMA BAY.

Afisa wa dharura katika shirika la Muhuri kaunti ya Monbasa, Francis Auma amelaani vikali mauji ya mbunge wa Kasipul kaunti ya Homa Bay Ong’ondo Were, huku akitaka idara ya usalama kuharakisha uchunguzi dhidi ya kisa hicho. Kulingana na Auma, kisa hicho kina dhihirisha usalama wa taifa hili hauko dhabiti na wakenya wako katika hatari ya

SHIRIKA LA MUHURI LAKASHIFU MAUAJI YA MBUNGE WA KASIPUL KAUNTI YA HOMA BAY. Read More »

MAAFISA SITA WA KWS WAFIKISHWA MAKAMANI KUFUATIA KISA CHA MVUVI MMOJA KUPOTEA MWEZI FEBRUARI MWAKA HUU 2025 KAUNTI YA NAKURU.

Huenda familia ya Brian Odhiambo, mvuvi aliyetoweka baada ya kukamtwa na maafisa wa polisi Kule Naivasha ikapata haki baada ya maafisa sita wa KWS kufikishwa mahakamani hii leo kule kaunti ya Nakuru. Kwa mujibu wa wakili wa familia hiyo Abuya Mogendi, kwa sasa uchunguzi ambao umekuwa ukiendelezwa na maafisa wa DCI kuhusiana na kisa hicho,

MAAFISA SITA WA KWS WAFIKISHWA MAKAMANI KUFUATIA KISA CHA MVUVI MMOJA KUPOTEA MWEZI FEBRUARI MWAKA HUU 2025 KAUNTI YA NAKURU. Read More »