VIONGOZI WA WIPER MOMBASA WAMKOSOA RAILA
Viongozi wa chama cha Wiper tawi la Mombasa wamejitokeza na kukosoa vikali hatua ya kiongozi wa muungano wa Azimio Raila Odinga ya kuingia kwenye mazungumzo na serikali. Viongozi hao wanadia kwamba kitendo hicho cha Raila kinahujumu makubaliano ya muungano huo wa Azimio huku wakiongeza kuwa mazungumzo hayo ni kwa faida ya Raila pekee na chama […]
VIONGOZI WA WIPER MOMBASA WAMKOSOA RAILA Read More »



