Paps Mkare

WACHEZAJI WENYE TALANTA WAOMBWA KUJITOKEZA

Wito umetolewa kwa wachezaji wa soka katika kaunti ya Kilifi kujitokeza kwa wingi na kuonyesha vipaji vyao katika mashindano ya Dola Super Cup yatakayofanyika kuanzia wikendi ijayo. Kulingana na Suleiman Saddam ambaye ni meneja wa mauzo katika kampuni ya Dola ambayo ndio mdhamini mkubwa wa mashindano haya ni kuwa vipaji vitaangaziwa kwa ukubwa ili kuonyesha […]

WACHEZAJI WENYE TALANTA WAOMBWA KUJITOKEZA Read More »

UHAMISHO ULAYA; JAMES RODRUGUEZ, RABIOT, MASON MOUNT

Mchezaji wa timu ya taifa ya Colombia James Rodriguez aliyeshinda tuzo la mchezaji bora katika mashindano ya Copa America 2024 ametangaza kutamatisha mkataba wake ni klabu yake ya sasa Sao Paulo. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 33 sasa ni mchezaji huru kwa klabu yoyote inayohitaji huduma zake. Rodriguez katika mashindano ya Copa Amerika alifunga

UHAMISHO ULAYA; JAMES RODRUGUEZ, RABIOT, MASON MOUNT Read More »