Paps Mkare

MURKOMEN AKULA KIAPO CHA MICHEZO KWENYE BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI

Kipchumba Murkomen amekula kiapo hii leo na kuchukua majukumu rasmi kama waziri wa michezo hapa nchini kwenye nafasi ilokuwa inashikiliwa na Ababu Namwamba. Hii ni baada ya kusailiwa bungeni na baadaye kupitishwa kwa kiapo hicho katika Ikulu ya Nairobi mbele ya Rais wa Kenya William Ruto. Kati ya mageuzi ya kwanza ambayo Kipchumba aliweka wazi

MURKOMEN AKULA KIAPO CHA MICHEZO KWENYE BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI Read More »