Paps Mkare

ANTHONY TAILOR NDIO REFA WA MECHI YA ARSENAL DHIDI YA LIVERPOOL JUMAPILI

Ligi kuu nchini Uingereza imetoa taarifa kuwa Anthony Tailor ndiye atakaye kuwa refa wa mechi ya mechi itakayokutanisha Liverpool dhidi ya Arsenal wikendi ijayo. Arsenal ambayo ilipigwa bao 2-0 na Bournemouth katika Dimba la ugenini. Hata hivyo kiungo wa Kati raia wa Uingereza Declan Rice anatarajiwa kukosa mechi hiyo Rice ataikosa mechi hiyo kutokana na

ANTHONY TAILOR NDIO REFA WA MECHI YA ARSENAL DHIDI YA LIVERPOOL JUMAPILI Read More »

WAWANIAJI TISA WA FKF WAKUBALIWA KUWANIA URAIS

Wagombea wote 9 katika uchaguzi mkuu ujao wa Fkf wameidbinishwa na kamati ya uchaguzi kuendeleza kampeni baada ya ukaguzi wa stakabadhi zao. Wawaniaji hao walisalimisha stakabadhi zao kandanda house Jumatatu wiki jana na kamati ya uchaguzi imethibitisha kuwa wamepita vigezo vyote vya kupigania urais wa Fkf. Wagombea hao tisa ambao ni pamoja na Hussein Mohamed

WAWANIAJI TISA WA FKF WAKUBALIWA KUWANIA URAIS Read More »