ACADEMY ZA SOKA KUJENGWA KOTE NCHINI
Huenda soka la Kenya likaimarika baada ya uamuzi wa wizara ya michezo nchini kutangaza kuwa inalenga kujenga vyuo vya mafunzo na malezi ya soka ukipenda Soccer academy kote nchini. Kulingana na Waziri wa michezo Kipchumba Murkomen ni kuwa Academy takriban 290 zinatarajiwa kujengwa ndani ya kipindi cha miaka minne ijayo na zitajengwa kwa ushirikiano na […]
ACADEMY ZA SOKA KUJENGWA KOTE NCHINI Read More »



