TIMU ZA KENYA KUCHEZA HUMU NCHINI, UKARABATI UTAKAPO KAMILIKA
Huenda timu ya taifa ya soka ya Harambe stars ikaanza kushiriki mechi zake za nyumbani katika viwanja vya Kenya tofauti na mechi kadhaa za awali kutokana na ukarabati wa viwanja unao endelea kwa sasa. Kipchumba Murkomen akizungumza katika jiji la Nairobi amesema ukarabati huo unafanyika kwa kasi sana haswa katika uwanja wa Nyayo na Kasarani. […]
TIMU ZA KENYA KUCHEZA HUMU NCHINI, UKARABATI UTAKAPO KAMILIKA Read More »



