Paps Mkare

KUSHIBA NDIO CHANZO CHA MATOKEO BORA TEITA ESTATE

Klabu ya Teita Estate kutoka Mwatate kaunti ya Taita Taveta inazidi kuandikisha matokeo bora msimu huu katika ligi ya daraja la pili kutokana na motisha wachezaji wanaopewa na wadhamini wao. Kulingana na kocha mkuu wa klabu hiyo Mohamed Hassan ukipenda kocha mzoefu anasema wachezaji wake wote wameajiriwa na kampuni ya makonge jambo ambalo linawafanya kutuliza

KUSHIBA NDIO CHANZO CHA MATOKEO BORA TEITA ESTATE Read More »