Paps Mkare

EVANS CHEBET NA HELLEN OBIRI WANG’AA BOSTON MARATHON, KIPCHOGE AKIOSHWA

Mwanariadha kutoka Kenya Evans Chebet jana alifanikiwa kutetea ubingwa wake wa Boston Marathon katika mashindano yaliyofanyika jana katika taifa la marekani. Chebet alikamilisha mbio hizo za kilomita 42 kwa masaa 2.05.54 akimshinda  mtanzania Gabreal Geay  aliyemaliza kwa muda wa masaa 2.06.04. Bingwa wa Olimpiki mara mbili Eliud Kipchoge ambaye wakenya wengi walikuwa na matarajio makubwa

EVANS CHEBET NA HELLEN OBIRI WANG’AA BOSTON MARATHON, KIPCHOGE AKIOSHWA Read More »

LIGI YA FKF KUANZA RASMI WIKENDI IJAYO – DICKSON ANGORE

Ligi ya kaunti ya Kilifi itaanza rasmi wikendi ijayo baada ya matayarisho ya muda mrefu na shirikisho la soka FKF. Mwenyekiti wa shirikisho la fkf kaunti ya Kilifi Dickson Angore amesema kwamba matayarisho yamechelewa kutokana na usajili wa wachezaji katika orodha maalumu ya wachezaji katika Fifa Connect Usajili huo umekuwa ukifanyiwa kwa upole na umakini

LIGI YA FKF KUANZA RASMI WIKENDI IJAYO – DICKSON ANGORE Read More »