Paps Mkare

MANCHESTER UNITED KURINDIMANA NA CHELSEA OLD TRAFFORD LEO

Mechi moja kubwa ya ligi kuu nchini uingereza itakuwa inarindimwa usiku wa leo. Manchester United ambao tayari wameshajihakikishia nafasi yao katika mashindano ya Uefa msimu ujao watakuwa wanawakaribisha Cheslea katika uwanja wa Old Trafford. Manchester United katika mechi hiyo watakuwa wanamkosa Marcel Sabister, Van De Bleek pamoja na Lisandro Martinez wote wakiwa wanaugulia majeraha. Upande

MANCHESTER UNITED KURINDIMANA NA CHELSEA OLD TRAFFORD LEO Read More »