Paps Mkare

MAANDALIZI YA MASHINDANO YA KUMTANGAZA YESU KRISTO YANOGA MALINDI

Waandalizi wa mashindano ya soka ya  Mbuzi  Football Tournament (U-Turn na Life Church International Malindi) yanayolengwa kufanyika wiki ijayo katika shule ya msingi ya Central mjini Malindi kaunti ya kilifi wanasema kwamba mashindano hayo yanazidi kuvutia vilabu vingi mashinani. Mashindano hayo yanayolenga kueneza injili ya Yesu Kristo kwa vijana wa eneo la Malindi yalifaa kuhusisha

MAANDALIZI YA MASHINDANO YA KUMTANGAZA YESU KRISTO YANOGA MALINDI Read More »