Paps Mkare

UHAMISHO; GUNDOGAN YWAELEKEA CAMP NOU, KIM AKIAHIRISHA UHAMISHO NA KUINGIA JESHINI KWANZA

Klabu ya Barcelona ambao ni mabingwa wa Laliga kule uhispania  wamekubaliana na Ikkay Gundogan  ambaye ni nahodha wa klabu ya manchester city walioshinda kombe la mabingwa ulaya pamoja na ligi kuu nchini Uingereza. Gundogan alikuwa amepewa ofa ya kuongeza uwepo wake katika dimba la Etihad lakini ameamua kuihama kambi hiyo na kujiunga na kambi ya […]

UHAMISHO; GUNDOGAN YWAELEKEA CAMP NOU, KIM AKIAHIRISHA UHAMISHO NA KUINGIA JESHINI KWANZA Read More »

MATHARE UNITED YAAGA MASHINDANO YA FKF MSIMU HUU, BINGWA AKITARAJIWA KUJULIKANA JUMAPILI

Klabu ya Mathare United katika ligi kuu ya Fkf imethibitika Kushuka daraja hadi National Super League kuelekea msimu ujao. Hii ni baada ya klabu hiyo kuandikisha matokeo duni msimu huu. Bingwa ligi ya Fkf msimu huu atabainika siku ya jumapili kutokana na Gor Mahia kupigwa na Homeboyz pamoja na Tusker kupiga sare na klabu ya

MATHARE UNITED YAAGA MASHINDANO YA FKF MSIMU HUU, BINGWA AKITARAJIWA KUJULIKANA JUMAPILI Read More »

RONALDO AINGIA KWENYE GUINNESS BOOK OF RECORDS

Mshambuliaji nguli wa timu ya taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo jana alizawadiwa cheti baada ya kuingia katika vitabu vya Guiness Book of Record kutokana na kucheza mechi nyingi zaidi akitumikia taifa lake. Kwa sasa Ronaldo ndiye mchezaji pekee aliyewahi kufikisha mechi 200 kutumikia taifa baada ya kuanza kusakatia Ureno soka mwaka 2003. Mreno huyo ambaye

RONALDO AINGIA KWENYE GUINNESS BOOK OF RECORDS Read More »