Paps Mkare

VILABU VYOTE VICHEZE MAGARINI, FKF MAGARINI YASEMA

Katibu wa shirikisho la soka la eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi Emmanuel Kazungu amethibitisha kuwa vilabu vyote vya magarini ambavyo kwa miaka ya nyuma vimekuwa vikishiriki katika ligi ya eneo bunge la Malindi sasa ni sharti vitashiriki ligi ya Magarini huku usajili ukiwa unaendelea. Kulingana na Emmanuel ni kuwa vilabu vinavyolengwa hasa ni

VILABU VYOTE VICHEZE MAGARINI, FKF MAGARINI YASEMA Read More »