APS BOMET YAPIGWA MARUFUKU
Klabu ya APS Bomet imepigwa marufuku ya kushiriki mechi za National Super League za msimu wa mwaka 2022/2023 lakini pia wameshushwa daraja hadi ligi ya daraja la kwanza kitaifa kwa msimu ujao wa 2023/2024 kutokana nao kukosa kuheshimu ratiba za mechi. Kulingana na shirikisho la soka FKF ni kwamba APS Bomet wamekosa kuandikia shirikisho hilo […]
APS BOMET YAPIGWA MARUFUKU Read More »



