Janet Mumbi

HAKI AFRIKA YAZITAKA ASASI ZA USALAMA KUWAKABILI WAHALIFU BILA KUWAHANGAISHA

Mkurugenzi mkuu wa shirika la kutetea haki za kibinadamu la Haki Afrika kaunti ya Mombasa Hussein Khalid amesema sheria inapaswa kuzingatiwa vilivyo katika kuwakabili wahalifu nchini. Hussein amesema ni sharti sheria zilizobuniwa nchini kuzingatiwa licha ya kuwa taifa la Kenya linashuhudia visa vya uhalifu. Amesema haifai kwa maafisa wa usalama kutumia nguvu kupita kiasi wanapokabiliana […]

HAKI AFRIKA YAZITAKA ASASI ZA USALAMA KUWAKABILI WAHALIFU BILA KUWAHANGAISHA Read More »

HIMIZO LATOLEWA KWA VIONGOZI WOTE KUHAKIKISHA MGAO WA BASARI UNAWALENGA WALIO NA UHITAJI

Baadhi ya viongozi wa kijamii kaunti ya Kilifi wametoa wito kwa wabunge pamoja na wanasiasa wote, kutekeleza haki na usawa katika zoezi la ugavi wa fedha za basari kwa wanafunzi wote. Kwa mujibu wa kiongozi wa  muungano wa wazee wa kimijikenda wa Malindi District Cultural Association, Stanely Kiraga , ugavi wa basari haupaswi kuzingatia masuala

HIMIZO LATOLEWA KWA VIONGOZI WOTE KUHAKIKISHA MGAO WA BASARI UNAWALENGA WALIO NA UHITAJI Read More »