RUWEIDA OBO ASEMA JAMII YA AWER INAYOISHI KWA KWENYE MSITU WA BONI ITAIMARISHWA KIELIMU
Mbunge wa Lamu Mashariki kaunti ya Lamu Ruweida Obo amesema katika uongozi wake hatambagua mwenyeji yeyote. Katika ahadi zake amesema atahakikisha jamii ya Awer ambayo inaishi kwenye msitu wa Boni inanufaika kielimu. Amesema ili jamii hiyo iweze kinufaika na elimu, atahakikisha watoto wa jamii hiyo ambao wanasomea shule ya msingi ya bweni ya Arid Zone […]
RUWEIDA OBO ASEMA JAMII YA AWER INAYOISHI KWA KWENYE MSITU WA BONI ITAIMARISHWA KIELIMU Read More »



