Paps Mkare

SADIO MANE KUKOSA NA WAWILI WENGINE KUKOSEKANA UEFA

Bingwa wa taji la Afcon mwaka 2021 mwite Sadio Mane atakosekana katika mechi ya leo ya klabu bingwa ulaya ambapo kikosi cha Bayern Munich Kitasafiri kwenda jijini Paris Ufaransa kuvaana na PSG. Sadio Mane amekuwa mkekani kwa kipindi cha miezi mitatu sasa baada ya kupata jeraha mwaka jana katika mechi za Bundesliga, jeraha ambalo lilimkosesha […]

SADIO MANE KUKOSA NA WAWILI WENGINE KUKOSEKANA UEFA Read More »

WATALII ZAIDI YA ELFU MOJA WAMEWASILI KATIKA BANDARI YA MOMBASA

Meli ya watalii zaidi ya elfu moja imewasili nchini na kutia nanga katika bandari ya mombasa. Meli hiyo kwa jina MV. Atania imewaleta watalii hao kutoka mataifa ya Madagascar na Mauritius, watalii ambao baadaye wanatarajia kuondoka hadi Zanzibar kabla ya kurejea makwao. Mamlaka ya bandari nchini KPA imesema kuwa serikali kupitia wizara husika itaboresha sekta

WATALII ZAIDI YA ELFU MOJA WAMEWASILI KATIKA BANDARI YA MOMBASA Read More »