BAYERN MUNICH YATUSUA KWA PSG, AC MILAN IKIIPIGA SPURS UEFA
Miamba wa Ujerumani waite Bayern Munich usiku wa kuamkia leo wamesajili suhindi wa bao 1-0 dhidi ya Paris Saint Germain katika dimba la ugenini la Parc De Princes. Bao la pekee na la ushindi kwenye mechi hiyo lilifungwa na Kingsley Coman katika dakika ya 53, akitendea haki pasi nyerezi iliyotoka kwa beki wa kupanda na […]
BAYERN MUNICH YATUSUA KWA PSG, AC MILAN IKIIPIGA SPURS UEFA Read More »



