Janet Mumbi

YUSUF LULE ATOA WITO KWA SERIKALI KUU KUWEKA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA UKOSEFU WA USALAMA

Mashirika ya kutetea haki za kibinadamu katika kaunti ya Mombasa yakiongozwa na lile ya HURIA yametoa wito kwa serikali kuu kuweka mikakati ambayo itakabiliana na visa vya ukosefu wa usalama nchini. Yakiongozwa na mkurugenzi mkuu wa shirika la HURIA Yusuf Lule yamesema hali hiyo inaendelea kuathiri shughuli nyingi nchini pamoja na maisha ya Wakenya. Lule […]

YUSUF LULE ATOA WITO KWA SERIKALI KUU KUWEKA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA UKOSEFU WA USALAMA Read More »

GAVANA WA KILIFI GEDION MUNG’ARO AWAONYA VIJANA WANAOTUMIWA VISIVYO NA WANASIASA

Gavana wa kaunti ya Kilifi, Gideon Maitha Mung’aro amewataka wananchi waliowasilisha kesi mahakamani kupinga ushindi wake baada ya kuandaliwa kwa uchaguzi mkuu wa Agosti 9 mwaka jana wa wa 2022 kutekeleza agizo la mahakama baada ya Mahakama ya Malindi kutupilia mbali hiyo. Akizungumza nje ya afisi yake mjini Kilifi kaunti ya Kilifi, baada jaji wa

GAVANA WA KILIFI GEDION MUNG’ARO AWAONYA VIJANA WANAOTUMIWA VISIVYO NA WANASIASA Read More »

ARSENAL WAPEANA NAFASI YA KWANZA KWA MABINGWA WATETEZI MANCHESTER CITY

Kwenye ligi kuu nchini uingereza sasa kumekucha baada ya klabu ya Arsenal kubimbindwa na mabingwa watetezi Manchester City katika dimba la ugenini Etihad kipigo cha mabao 3-1. Mabao ya Manchester City yamefungwa na kiungo Kevin De Bruyne, Jack Grealish lakini pia mshambuliaji raia wa Norwey Erling Braut Halaand akashindilia ushindi huo katika dakika za lala

ARSENAL WAPEANA NAFASI YA KWANZA KWA MABINGWA WATETEZI MANCHESTER CITY Read More »