VIHIGA BULLETS HALI YAO YAZIDI KUWA MBAYA LIGINI
Klabu ya Vihiga Bullets wanazidi kuonyeshwa unyonge kwenye ligi kuu ya fkf kufuatia kichapo cha jana cha mabao 3-0 dhidi ya Bidco United katika dimba lao la nyumbani mjini Mumias. Mabao ya Bidco klabu inayotokea Thika katika kaunti ya kiambu jana yalifungwa na Henry Juma, Gaucho lakini pia goli ya kumaliza kazi kutoka kwa Ezekiel […]
VIHIGA BULLETS HALI YAO YAZIDI KUWA MBAYA LIGINI Read More »



