Janet Mumbi

MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI VINAENDELEA KUONGEZEKA ENEO LA CHANGAMWE

Afisa wa afya ya umma kaunti ndogo ya Changamwe kaunti ya Mombasa, Boniface Mbindyo amesema kuwa idadi ya maambukizi ya virusi vya ukimwi imefikia elfu 39 katika kaunti ndogo hiyo. Mbindyo amesema kuwa kuna haja ya hamasa kwa umma kuimarishwa kuhusiana na mbinu za kujikinga dhidi ya maambukizi ya virusi vya ukimwi ili kuona kwamba […]

MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI VINAENDELEA KUONGEZEKA ENEO LA CHANGAMWE Read More »

WAZAZI KAUNTI YA KILIFI WATAKIWA KUKUZA VIPAJI NA TALANTA ZA WATOTO WAO

Waziri wa michezo, sanaa, tamaduni, jinsia, vijana, michezo na huduma za jamii kaunti ya Kilifi, Dkt. Dama Masha amewataka wazazi katika jamii kujukumika katika kuwakuza wanao kiupande wa vipaji na talanta kama mbinu mojawapo ya kuwaimarisha. Akizungumza katika mahojiano ya kipekee na Lulu fm, waziri Dama amesema kuwa walimu pia wanajukumu la kuwainua wanafunzi kwa

WAZAZI KAUNTI YA KILIFI WATAKIWA KUKUZA VIPAJI NA TALANTA ZA WATOTO WAO Read More »

WAZIRI DAMA MASHA ASEMA WATAKABILIANA NA ONGEZEKO LA DHULUMA ZA KIJINSIA MIONGONI MWA WENYEJI WA KILIFI

Waziri wa michezo, tamaduni, sanaa na jinsia kaunti ya Kilifi Dkt. Dama Masha amesema wizara hiyo inalenga kukabiliana na ongezeko la dhulma za kijinsia miongoni mwa wanajamii kaunti ya Kilifi. Akizungumza kwenye mahojiano ya kipekee hapa Lulu fm, waziri Dama amesema akina mama, watoto na hata wazee ni miongoni mwa wanajamii wanaopitia dhulma nyingi katika

WAZIRI DAMA MASHA ASEMA WATAKABILIANA NA ONGEZEKO LA DHULUMA ZA KIJINSIA MIONGONI MWA WENYEJI WA KILIFI Read More »