Janet Mumbi

IDARA YA USALAMA KAUNTI YA TANA RIVER YATAKIWA KUTUMIA NJIA YA MAZUNGUMZO KUSULUHISHA MIZOZO

Idara ya usalama katika kaunti ya Tana River imetakiwa kutumia njia ya mazungumzo katika kuleta suluhu la mizozo, iliyoko katika kaunti hiyo na kupata suluhu la kudumu. Kwa mujibu wa gavana wa kaunti hiyo Dhado Godana zipo njia nyingi za wananchi kusuluhisha matatizo yanayowakabili, kando na kuwakamata vijana wanaokisiwa kuhusika katika vita kwenye jamii. Akizungumza […]

IDARA YA USALAMA KAUNTI YA TANA RIVER YATAKIWA KUTUMIA NJIA YA MAZUNGUMZO KUSULUHISHA MIZOZO Read More »

RIPOTI YA WIZARA YA AFYA YAONYESHA IDADI YA VIFO VYA WATOTO KABLA YA KUZALIWA NA BAADA YA KUZALIWA VIMEPUNGUA KILIFI

Idadi ya vifo vya Watoto kabla ya kuzaliwa na hata baada ya kuzaliwa katika kaunti ya Kilifi vimeripotiwa kupungua kwa asilimia kubwa ikilinganishwa na miaka ya nyuma. Haya ni kulingana na ripoti ya utafiti wa serikali kuu kupitia idara ya afya nchini ambayo imebainisha kupungua kwa visa hivyo kutokana na juhudi za akina mama hao

RIPOTI YA WIZARA YA AFYA YAONYESHA IDADI YA VIFO VYA WATOTO KABLA YA KUZALIWA NA BAADA YA KUZALIWA VIMEPUNGUA KILIFI Read More »

VIJANA WATANO WANOJIHUSISHA NA UHALIFU ENEO LA SHELLA MJINI MALINDI WATIWA MBARONI

Jumla ya vijana watano ambao wanadaiwa kutekeleza visa vya wizi wa kimabavu katika mitaa ya wadi ya Shella na mji wa Malindi kaunti ya Kilifi wametiwa mbaroni. Haya ni kwa mujibu wa naibu chifu wa eneo hilo la Shella Nicodemus Mwayele ambaye amesema idara ya usalama imekuwa ikiendeleza msako dhidi ya magenje ya kihalifu katika

VIJANA WATANO WANOJIHUSISHA NA UHALIFU ENEO LA SHELLA MJINI MALINDI WATIWA MBARONI Read More »