KLABU YA GUSII UNITED YAPEWA ALAMA KISA WENYEJI WAKOSA KUWEKA MAZINGIRA SALAMA
Klabu ya Gusii United ndio klabu ya hivi punde zaidi kupewa alama tatu na mabao mawili katika mechi ya National Super League baada ya kuwasilisha gari la ambulensi lililokosa vifaa vya kutosha kuweka mazingira kamili ya kiafya kwa wachezaji. Haya yanajiri siku chache baada ya tukio kama hilo kutokea kwa klabu ya daraja la kwanza […]
KLABU YA GUSII UNITED YAPEWA ALAMA KISA WENYEJI WAKOSA KUWEKA MAZINGIRA SALAMA Read More »



