Paps Mkare

KLABU YA GUSII UNITED YAPEWA ALAMA KISA WENYEJI WAKOSA KUWEKA MAZINGIRA SALAMA

Klabu ya Gusii United ndio klabu ya hivi punde zaidi kupewa alama tatu na mabao mawili katika mechi ya National Super League baada ya kuwasilisha gari la ambulensi lililokosa vifaa vya kutosha kuweka mazingira kamili ya kiafya kwa wachezaji. Haya yanajiri siku chache baada ya tukio kama hilo kutokea kwa klabu ya daraja la kwanza […]

KLABU YA GUSII UNITED YAPEWA ALAMA KISA WENYEJI WAKOSA KUWEKA MAZINGIRA SALAMA Read More »

SHEKHUNA ABBAS ASEMA KUNA HAJA YA KUWA NA MUDA MAALUMU WA MABOTI NA PIKIPIKI KUHUDUMU KISIWANI LAMU

Mwakilishi wa wadi ya Mkomani kaunti ya Lamu Shekhuna Abbas amesema kuna haja ya kuwa na muda maalumu wa maboti na pikipiki kuhudumu nyakati za usiku kisiwani Amu kwa sababu za kiusalama. Abbas amesema iwapo Maboti na pikipiki hizo zitapigwa marufuku kuhudumu nyakati za usiku itakuwa bora zaidi ili kudhibiti visa ya ukosefu wa usalama

SHEKHUNA ABBAS ASEMA KUNA HAJA YA KUWA NA MUDA MAALUMU WA MABOTI NA PIKIPIKI KUHUDUMU KISIWANI LAMU Read More »

KESI 67 ZA MAAFISA WA POLISI KUWADHULUMU WAKENYA ZIMENAKILIWA KANDA YA PWANI

Mkurugenzi wa mamlaka ya kutathmini utendakazi wa polisi nchini IPOA kabda ya pwani Hussein Aden amethibitisha kupokea jumla ya kesi 467 kote nchini za malalamishi kutoka kwa wakenya yanayohusiana na maafisa wa polisi tangu mwanzoni mwa mwaka huu wa 2023. Kulingana na Hussein kati ya kesi hizo, kesi 67 zimenakiliwa kanda ya pwani na kuwataka

KESI 67 ZA MAAFISA WA POLISI KUWADHULUMU WAKENYA ZIMENAKILIWA KANDA YA PWANI Read More »