WAVUVI WATARAJIWA KUNUFAIKA NA VIFAA VYA KUTEKELEZA UVUVI KUPITIA VYAMA VYA USHIRIKA.
Gavana wa kaunti ya Mombasa Abdulswamaad Shariff Nassir amesema kuwa serikali ya kaunti hiyo, imeanza mikakati ya kuwakabili matapeli wanaoendeleza unyakuzi wa ardhi za umma kaunti hiyo. Kwa mujibu wa gavana huyo ni kuwa wameanza harakati za kutafuta hatimiliki halali za ardhi hizo, ili kutekeleza miradi mbali mbali ikiwemo ujenzi wa soko ambalo, huenda likawasaidia […]
WAVUVI WATARAJIWA KUNUFAIKA NA VIFAA VYA KUTEKELEZA UVUVI KUPITIA VYAMA VYA USHIRIKA. Read More »



