Tonny Ngala

WADAU MBALI MBALI ENEO LA MALINDI KAUNTI YA KILIFI WASHIRIKIANA KATIKA ZOEZI LA UPANZI WA MITI.

Kama njia mojawapo ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia inchi katika eneo hili la Malindi na kaunti ya Kilifi kwa jumla, wadau mbali mbali wa kimazingira kaunti ya Kilifi, wameendeleza shughuli za upanzi na utunzi wa miti katika bustani ya Buthwani water front Park. Kulingana na mwanzilishi wa mpango wa upanzi wa miti milioni moja […]

WADAU MBALI MBALI ENEO LA MALINDI KAUNTI YA KILIFI WASHIRIKIANA KATIKA ZOEZI LA UPANZI WA MITI. Read More »

ZAIDI YA WANAFUNZI MIA NANE WADI YA GANDA WAMENUFAIKA NA FEDHA ZA BASARI KUTOKA KWA SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI.

Zaidi ya wanafunzi mia nane katika wadi ya Ganda eneo bunge la Malindi kaunti ya Kilifi, wamenufaika na kima cha shilingi milioni 4.85, fedha za basari kutoka kwa serikali ya kaunti ya Kilifi. Kulingana na mwakilishi wadi hiyo Oscar Wanje, ni kuwa wanafunzi hao ni pamoja na wale wa shule za upili, vyuo vikuu pamoja

ZAIDI YA WANAFUNZI MIA NANE WADI YA GANDA WAMENUFAIKA NA FEDHA ZA BASARI KUTOKA KWA SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI. Read More »

WITO UMETOLEWA KWA HAKI NA USAWA KUTEKELEZWA KATIKA ZOEZI LA KUWAFIDIA WAVUVI KAUNTI YA LAMU.

Gavana wa kaunti ya Lamu Abdalah Issa Timamy, amesema kuwa sharti shughuli za kuwalipa fidia wavuvi katika kaunti ya Lamu litekelezwe kwa haki na uwazi. Gavana huyo amesema wanafahamu kuwa wapo baadhi ya watu ambao sio wavuvi na tayari wameorodheshwa kupokea fedha hizo kutoka kwa serikali jambo ambalo amesema sio sahihi. Akizungumza na wakaazi wa

WITO UMETOLEWA KWA HAKI NA USAWA KUTEKELEZWA KATIKA ZOEZI LA KUWAFIDIA WAVUVI KAUNTI YA LAMU. Read More »