FAZA YOUTH ACTION GROUP YAITAKA SERIKALI YA KAUNTI YA LAMU KUZIFUFUA NA KUZIIMARISHA ZAHANATI
Shirika la kijamii la Faza Youth Action Group kaunti ya Lamu limeitaka serikali ya kaunti hiyo kuharakisha mchakato wa kuzifufua na kuziimarisha zahanati ambazo ziko katika wadi ya Basuba eneo la Boni ili kuwanufaisha wenyeji wa maeneo hayo. Kulingana na shirika hilo, wadi ya Basuba iko na zahanati moja pekee eneo la Kiangwe na haina […]



