Paps Mkare

MANDONGA KUREJEA KENYA KWA PAMBANO JINGINE

Bondia wa Tanzania Karim Mandonga maarufu kama Mtu Kazi ameratibiwa mechi ya marudio na bondia wa kenya Daniel Wanyonyi tarehe 18 mwezi Machi jijini Nairobi. Mandonga, alikuwa amepangwa kupambana dhidi ya bondia mwengine raia wa Kenya anayeishi Marekani Raymond “King Kong” Ochieng, ila anahitajika kupunguza uzani wa kilo 15 kabla ya pigano hilo, swala linaonekana […]

MANDONGA KUREJEA KENYA KWA PAMBANO JINGINE Read More »

KAUNTI YA KWALE IMESAJILI IDADI NDOGO YA WANAFUNZI AMBAO WANAJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA

Mkurugenzi wa elimu kanda ya pwani Luka Kangogo amesema kaunti ya Kwale ni miongoni mwa kaunti za pwani ambazo hazijaafikia asilimia 100 ya watoto ambao wanapaswa kujiunga na kidato cha kwanza na wale wa Sekondari msingi. Akizungumza katika kaunti ya Kwale Kangogo amesema wazara ya elimu imeanzisha harakati za kuhakikisha wanafunzi wote katika viwango hivyo

KAUNTI YA KWALE IMESAJILI IDADI NDOGO YA WANAFUNZI AMBAO WANAJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA Read More »

MOHAMED ALI ASEMA WATAENDELEZA MIKAKATI YA KUHARAMISHA SUALA LA MAPENZI YA JINSIA MOJA BUNGENI

Mbunge wa Nyali kaunti ya Mombasa Mohamed Ali amesema wataendeleza harakati za kuharamisha suala la mapenzi ya jinsia moja bungeni. Amesema tabia hizo zinakiuka maadili ya kidini pamoja na mila za kiafrika ambazo zinasukumwa na mataifa ya kigeni ili kuendelezwa nchini Kenya. Ali ambaye alikuwa akiwahutubia wenyeji wa eneo bunge lake la Nyali amesema ni

MOHAMED ALI ASEMA WATAENDELEZA MIKAKATI YA KUHARAMISHA SUALA LA MAPENZI YA JINSIA MOJA BUNGENI Read More »