MANDONGA KUREJEA KENYA KWA PAMBANO JINGINE
Bondia wa Tanzania Karim Mandonga maarufu kama Mtu Kazi ameratibiwa mechi ya marudio na bondia wa kenya Daniel Wanyonyi tarehe 18 mwezi Machi jijini Nairobi. Mandonga, alikuwa amepangwa kupambana dhidi ya bondia mwengine raia wa Kenya anayeishi Marekani Raymond “King Kong” Ochieng, ila anahitajika kupunguza uzani wa kilo 15 kabla ya pigano hilo, swala linaonekana […]
MANDONGA KUREJEA KENYA KWA PAMBANO JINGINE Read More »



