Janet Mumbi

MAGAVANA WA PWANI KUWASILISHA MATAKWA YAO KWA RAIS WILLIAM SAMOEI RUTO

Gavana wa kaunti ya Kilifi Gedion Maitha Mung’aro amesema magavana wote wa kaunti za pwani wataungana na kisha kuwasilisha matakwa yao kwa rais William Samoei Ruto. Akizungumza kwenye kaunti ya Mombasa katika kongamano la Muungano wa Jumuiya ya kaunti za pwani na mawaziri wa fedha kutoka ukanda wa pwani, Mung’aro ambaye pia ni mwenyekiti wa […]

MAGAVANA WA PWANI KUWASILISHA MATAKWA YAO KWA RAIS WILLIAM SAMOEI RUTO Read More »

WITO WA KUIMARISHA MICHEZO WATOLEWA NA VIONGOZI

Wito umetolewa kwa viongozi mbalimbali wa pwani kutoa ufadhili wa michezo katika vilabu vingi vya mashinani ambavyo vinapitia kipindi kigumu kifedha kwa sasa. Mwenye kiti wa shirikisho la soka katika kaunti ya Kilifi Dickson ANgore anasema kwamba ipo haja ya michezo kupewa kipaumbele ili kusaidia wachezaji wengi kuepuka matumizi ya mihadarati pamoja na kujihusisha na

WITO WA KUIMARISHA MICHEZO WATOLEWA NA VIONGOZI Read More »

WAZIRI WA USALAMA NCHINI KITHURE KINDIKI AZURU KAUNTI YA KILIFI

Waziri wa usalama wa ndani Kithure Kindiki amesema idadi kubwa ya wanafunzi kanda ya pwani ambao wanapaswa kujiunga na kidato cha kwanza wangali nyumbani. Akizungumza akiwa Gotani eneo bunge la Kaloleni kaunti ya Kilifi, Kithure amesema wanafunzi hao wanapaswa kujiunga na shule za upili ili kuendeleza masomo yao. Kufuatia hilo sasa amewaagiza Manaibu wa Makamishna

WAZIRI WA USALAMA NCHINI KITHURE KINDIKI AZURU KAUNTI YA KILIFI Read More »