Paps Mkare

WAHISANI NA SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI WAOMBWA KUWASAIDIA WENYEJI WA GANZE

Mwenyekiti wa wazee wa Kaya Godoma eneo la Mrima wa Ndege kaunti ya Kilifi Emmanuel Katana ametoa wiro kwa Serikali ya Kitaifa na ile ya Kaunti ya kilifi pamoja na wahisani mbalimbali kujitokeza na kuwasaidia wakazi wa eneo bunge la Ganze ambao wanaendelea kukabiliwa na baa la njaa. Katana anasema eneo hilo linazidi kukabiliwa na

WAHISANI NA SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI WAOMBWA KUWASAIDIA WENYEJI WA GANZE Read More »

BAA LA NJAA NA KIANGAZI KINAZIDI KUWAKABILI WENYEJI WA TAVETA

Naibu Kamishna wa kaunti ndogo ya Taveta kaunti ya Taita Taveta Joseph Mericho amewataka wenyeji wa Maeneo Ya Bomani, Chala Na Jipe kaunti ya Taita Taveta Kuwa Na Subira Serikali Inapojitahidi Kuwapelekea Chakula cha msaada kutokana na hali ya kiangazi na baa la njaa. Mericho amesema Maeneo Hayo Ndiyo ambayo Yameathirika Zaidi Na Kiangazi Katika

BAA LA NJAA NA KIANGAZI KINAZIDI KUWAKABILI WENYEJI WA TAVETA Read More »