BALOZI WA UJERUMANI AMEAHIDI USALAMA UTAIMARISHA KWENYE FUO ZA BAHARI PWANI
Balozi wa Ujerumani nchini Kenya Sebatian Groth amesema mikakati imewekwa ya kuimarisha usalama katika fuo za bahari na maeneo ya kitalii kanda ya pwani. Akizungumza na wanahabari katika makao makuu ya polisi kaunti ya Mombasa amesema hawana hofu kuhusu usalama wa taifa hili na kuahidi kutakuwa na wageni kutoka Ujerumani ambao watazuru nchini Kenya. Kulingana […]
BALOZI WA UJERUMANI AMEAHIDI USALAMA UTAIMARISHA KWENYE FUO ZA BAHARI PWANI Read More »



