Janet Mumbi

GAVANA ACHANI AWATAKA WANAWAKE KUWEKA JUHUDU ZAIDI KATIKA UONGOZI

Gavana wa kaunti ya Kwale Fatuma Achani ametoa wito kwa Jamii kutumia vyema mitandao ya kijamii kwenye masuala ambayo yatawafaidi na sio kuitumia kuwadunisha wanawake ambao wanapania kujiunga na siasa. Katika taarifa yake kwa wenyeji wa kaunti hiyo, Achani ametolea mfano wa wakati alipokuwa akiendeleza kampeni zake za kuwania wadhifa wa ugavana ambapo baadhi ya […]

GAVANA ACHANI AWATAKA WANAWAKE KUWEKA JUHUDU ZAIDI KATIKA UONGOZI Read More »

ARSENAL YAPIGWA STOPPER NA SOUTHAMPTON ILA YASELELEA KILELENI

Klabu ya Arsenal inayoongozwa na mkufunzi Mikel Arteta iliambulia sare ya bao 1-1 dhidi ya Southampton katika dimba la St Mary’s wakiwa ugenini. Ni mechi ilyoshuhudia goli la dakika za mapema la kiungo Granit Xhaka likisawazishwa na Stuart Armstrong raia wa Scotland katika dakika ya 65. Kwa matokeo hayo Arsenali bado inaselelea kileleni mwa ligi

ARSENAL YAPIGWA STOPPER NA SOUTHAMPTON ILA YASELELEA KILELENI Read More »