KAMATI YA KUKABILIANA NA UKAME KWAUNTI YA KWALE YAWEKA MIKAKATI THABITI
Kamati ya kukabiliana na ukame kaunti ya Kwale imeweka mikakati ya kudhibiti visa vya wizi wa chakuka cha msaada kwa wenyeji ambao wameathirika na baa la njaa. Haya ni kulingana na naibu Kamishna wa eneo bunge la Matuga Lucy Ndemo ambaye amesema ni lazima walengwa wapate chakula chao cha msaada kama inavyopaswa kulingana na taratibu […]
KAMATI YA KUKABILIANA NA UKAME KWAUNTI YA KWALE YAWEKA MIKAKATI THABITI Read More »



