SHAKILLA ABDALLA AMTAKA RAIS RUTO KUWAPA WATU WA LAMU NAFASI ZA UONGOZI
Seneta mteule katika kaunti ya Lamu Shakilla Abdalla amesema kuna haja ya rais William Samoei Ruto kuwapa nafasi za uongozi wenyeji wa kaunti hiyo kwenye ngazi za kitaifa ili kaunti hiyo iweze kuwakilishwa kiukamilifu. Amesema katika serikali kuu bado kuna nafasi za makatibu wakuu na mabalozi ambazo zimesalia hivyo basi wenyeji wa kaunti hiyo wanapaswa […]
SHAKILLA ABDALLA AMTAKA RAIS RUTO KUWAPA WATU WA LAMU NAFASI ZA UONGOZI Read More »



