SULUHISHO LA SOKA LITAPATIKANA HIVI KARIBUNI – ABABU NAMWAMBA
Waziri wa michezo Ababu Namwamba amasema anaimani suluhisho la soka hapa nchini litapatikana hivi karibuni. Hii ni baada ya kuanza mazungumzo na fifa kuona ni jinsi gani marufuku ya fifa itaondolewa ili soka la Kenya la shirikisho la fkf litaanza kutambulika kimataifa. Ababu amehakikishia wadau wote wa soka hapa nchini taratibu zote zitafuata kuona soka […]
SULUHISHO LA SOKA LITAPATIKANA HIVI KARIBUNI – ABABU NAMWAMBA Read More »



