Paps Mkare

HATUTAPELEKA WABUNGE QATAR, ASEMA KARANI WA BUNGE LA KITAIFA

Karani wa bunge la kitaifa Samuel Njoroge amekanusha madai kwamba bunge la kitaifa linalenga kutuma wabunge kwa ziara ya kombe la dunia nchini Qatar mashindano ambayo yanaanza rasmi siku ya Jumapili. Njoroge anasema mpaka kufikia sasa hajapokea pendekezo lolote kutoka mhasibu wa bunge hilo na kusistiza kwamba bunge la kitaifa kwa sasa linatilia mkazo kusitisha […]

HATUTAPELEKA WABUNGE QATAR, ASEMA KARANI WA BUNGE LA KITAIFA Read More »

YAPENI MASHINDANO YA DUNIA HESHIMA YAKE – GIANNI INFANTINO

Raisi wa fifa Gianni Infantino ameomba kusitishwa kwa mapigano yanayoendelea Ukraine kwa muda wa mwezi mmoja kwa heshima ya mashindano ya kombe la dunia ambayo yatakuwa yanaendelea kwa kipindi cha siku 28. Infantino anasema ni muda sasa mataifa yanafaa kuja pamoja na mapigano ya urusi na Ukraine yanachoma picha ya mashindano ya kombe la dunia

YAPENI MASHINDANO YA DUNIA HESHIMA YAKE – GIANNI INFANTINO Read More »