Janet Mumbi

WITO WATOLEWA KWA WANANCHI KUWARIPOTI WAHALIFU KWA ASASI HUSIKA

Mwanaharakati wa kutetea haki za kibinadamu katika shirika la kutete haki za kibinadamu la HURIA kaunti ya Mombasa Alex Nziwi ametoa wito kwa umma kuwaripoti washukiwa wa wizi na sio kuchukua sheria mkononi. Nziwa ambaye alikuwa akizungumza na mwanahabari wetu kwa njia ya simu amekosoa hatua ya wananchi kuwapiga washukiwa wa uhalifu au hata kuwaua […]

WITO WATOLEWA KWA WANANCHI KUWARIPOTI WAHALIFU KWA ASASI HUSIKA Read More »

GAVANA ABDULSWAMAD APANIA KUFANYA UKAGUZI KUBAINI WAFANYIKAZI HEWA

Gavana wa kaunti ya Mombasa Abdulswamad Shariff Nassir anapanga kufanya ukaguzi kubaini wafanyikazi hewa waliokuwepo tangu serikali ya kaunti iliyopita chini ya uongozi wa gavana mstaafu Ali Hassan Joho. Akizungumza afisini mwake Abdulswamad amesema tayari ameiandikia barua tume ya huduma za umma kuishurutisha kufanya ukaguzi kuhusiana na Suala la wafanyikazi hewa. Kauli yake inajiri baada

GAVANA ABDULSWAMAD APANIA KUFANYA UKAGUZI KUBAINI WAFANYIKAZI HEWA Read More »

BAA LA NJAA LINAZIDI KUATHIRI SHUGHULI ZA MASOMO TAITA TAVETA

Wanaharakati wa kijamii kaunti ya Taita Taveta wameyashinikiza mashirika yasiokuwa ya kiserikali kushirikiana na serikali kutoa msaada wa chakula cha msaada kwa familia zinazokumbwa na makali ya njaa. Wanaharakati hao wanahofia kuwa baa la njaa litasababisha ongezeko la mimba za utotoni sawia na migogoro ya kifamilia katika kaunti hiyo ya Taita Taveta. Aidha wamesema kuna

BAA LA NJAA LINAZIDI KUATHIRI SHUGHULI ZA MASOMO TAITA TAVETA Read More »