Janet Mumbi

WENYEJI WA MANDA WALALAMIKIA KUHANGAISHA NA WANYAMAPORI

Wenyeji wa Manda kaunti ya Lamu wamelitaka shirika la huduma kwa wanyamapori KWS, kuhakikisha linabuni mbinu za kuwadhibiti wanyamapori dhidi ya kuvamia makazi ya wenyeji. Wakaazi hao wamesema wanyamapori wamekuwa wakiwahangaisha katika makazi yao wakiitaka KWS kuwaondoa wanyamapori hao ili wasiwasababishie hasara. Aidha wamesema hawana nia ya kuwadhuru wanyamapori hao hivyo ni jukumu la KWS […]

WENYEJI WA MANDA WALALAMIKIA KUHANGAISHA NA WANYAMAPORI Read More »

KIHOJA CHAZUKA KAKONENI BAADA YA NG’OMBE KUZAA NDAMA MWENYE SURA YA BINADAMU

Familia moja eneo la Kakoneni wadi ya Jilore kaunti ya Kilifi imepatwa na mshangaa kufuatia tukio la ng’ombe wao kuzaa ndama aliyekuwa na viungo kama vya binadamu. Akiongea na Lulu fm, Bendera Kabaya ambaye ni mmiliki wa ng’ombe huyo amesema kuwa tukio hilo limewastaajabisha wao na hadi majirani kwani ni tukio lisilokuwa la kawaida. Kulingana

KIHOJA CHAZUKA KAKONENI BAADA YA NG’OMBE KUZAA NDAMA MWENYE SURA YA BINADAMU Read More »

RONALDO ALALAMIKIA KUKOSA HESHIMA OLD TRAFFORD

Mshambuliaji nguli wa timu ya taifa ya ureno mwite Christiano Ronaldo amelalamikia kudharauliwa na klabu yake ya sasa Manchster united. Anasema mkufunzi mpya Erick ten Hag amekuwa akimbagua na kutosikiliza mchango wake kwa timu kama mchezaji mkongwe katika klabu hiyo. Ronaldo amekuwa na kiwango kibovu msimu huu ikizingatiwa kwamba chini ya mkufunzi mpya ronaldo ameanza

RONALDO ALALAMIKIA KUKOSA HESHIMA OLD TRAFFORD Read More »