RAIS WILLIAM SAMOEI RUTO ATAKIWA NA MASKWOTA WA SABAKI KUTIMIZA AHADI ALIZOTOA
Maskwota katika eneo la Sabaki kaunti ndogo ya Magarini kaunti ya Kilifi sasa wanamtaka rais William Samoei Ruto kutimiza ahadi zake alizotoae wakati wa kampeni ili kuhakikisha tatizo la uskwota linapata utatuzi. Maskwota hao wamesema ni wakati sasa kwa rais kutimiza ahadi yake ya kampeni ya kununua ekari milioni moja ya ardhi kama mbinu za […]
RAIS WILLIAM SAMOEI RUTO ATAKIWA NA MASKWOTA WA SABAKI KUTIMIZA AHADI ALIZOTOA Read More »



