Janet Mumbi

RAILA ODINGA ANGALI ANASHIKILIA MSIMAMO WAKE WA KUANDAA MAANDAMANO

Kinara wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga ameshikilia kuwa jumatano ya wiki hii itakuwa siku ya kuweka wazi mambo yaliyofanyika katika uchaguzi wa Agosti 9 mwaka huu. Akizungumza katika mtaa wa utawala kwenye kampeni za chaguzi ndogo za uwakilishi wadi, Raila amehoji kuwa ni sharti serikali ya Kenya kwanza iwekewe vidhibiti. Raila amesema […]

RAILA ODINGA ANGALI ANASHIKILIA MSIMAMO WAKE WA KUANDAA MAANDAMANO Read More »

RAIS WILLIAM SAMOEI RUTO AMWAGIZA WAZIRI WA KITHURE KINDIKI KUIMARISHA USALAMA

illiam Ruto amemwagiza waziri wa usalama Prof. Kithure Kindiki kuimarisha usalama katikati mwa jiji la Nairobi ambapo wanasiasa wa Azimio wanapanga kufanyaa maandamano kulalamikia kuwang’atuliwa ofisini kwa makamishna watatu wa IEBC. Rais Ruto akisema ni haki kwa upinzani kuandamana, japo akaonya kuhusu uharibifu wa mali. Ni kauli iliyoungwa mkono na naibu rais Rigathi Gachagua ambaye

RAIS WILLIAM SAMOEI RUTO AMWAGIZA WAZIRI WA KITHURE KINDIKI KUIMARISHA USALAMA Read More »

MIKAKATI YAWEKWA TANA RIVER KUDHIBITI VISA VYA WIZI WA MITIHANI WA KIDATO CHA NNE

Mkurugenzi mkuu wa elimu kaunti ya Tana River Khalif Hassan amesema mikakati thabiti imewekwa na idara usalama kwa ushirikiano na wizara ya elimu kuhakikisha hakuna visa vyovyote vya wizi wa mitihani vinashuhudiwa kutoka kwa watahiniwa wa kidato cha nne KCSE kwenye kaunti hiyo. Hassan amesema Jumla ya wanafunzi 2,120 wakiwemo wasichana 971 wanatarajiwa kufanya mtihani

MIKAKATI YAWEKWA TANA RIVER KUDHIBITI VISA VYA WIZI WA MITIHANI WA KIDATO CHA NNE Read More »