GAVANA ABDULSWAMAD SHARIFF NASSIR AWATAKA VIONGOZI WA KAUNTI HIYO KUWEKA KANDO TOFAUTI ZAO ZA KISIASA
Gavana wa kaunti ya Mombasa Abdulswamad Sharrif Nassir amewataka viongozi kuzika tofauti zao za kisiasa na kushirikiana kwa manufaa ya kizazi cha baadae. Gavana huyo amewataka kuendelea kuhubiri amani na umoja, kila wanapopanda kwenye majukwaa na kukoma kuleta migawanyiko, ambayo baadae huleta mihemko na hatimaye wengine kuchuku hatua zisizo na manufaa kwa jamii Kwa upande […]



