TUSKER FC YAPEWA KICHAPO NA BANDARI FC MOMBASA
Wanamvinyo Tusker FC wamepoteza mechi yao ya kwanza kabisa katika ligi kuu ya fkf Primia msimu huu baada ya jana kutandikwa kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya wanamaji Bandari fc. Kabla ya mechi hiyo Tusker walikuwa wameshinda mechi zao zote sita za ligi msimu huu na bado wanaongoza ligi wakiwa na alama 18. Mabao ya […]
TUSKER FC YAPEWA KICHAPO NA BANDARI FC MOMBASA Read More »



