Janet Mumbi

VIONGOZI WA TANA RIVER WAMPOGEZA RAIS WILLIAM SAMOEI RUTO

Viongozi wa kaunti ya Tana River wameipongeza hatua ya rais William Samoei Ruto kuhusiana na kuufufua mradi wa hifadhi ya kitaifa ya chakula wa Galana Kulalu kwa kusitisha ugawanyaji wa mashamba kwenye ardhi ya mradi wa unyunyizaji maji. Wakiongozwa na Musa Wario ambaye ni kiongozi wa wachache katika bunge la kaunti ya Tana River, wamesema […]

VIONGOZI WA TANA RIVER WAMPOGEZA RAIS WILLIAM SAMOEI RUTO Read More »

UKOSEFU WA NGUVU ZA UMEME WAZIDI KUWAATHIRI WENYEJI WA UYOMBO KAUNTI YA KILIFI

Wakaazi wa Uyombo wadi ya Matsangoni kaunti hii ya Kilifi wameilaumu kampuni ya kusambaza umeme ya Kenya power kwa kile walichodai kuwa kampuni hiyo imezembea kazini. Wakiongozwa na Jackson Karabu wamesema kuwa kumekuwa na na uhaba wa nguvu za umeme mara kwa mara hali inayowaathiri katika biashara zao na shughuli zao za kujiimarisha kiuchumi. Wamesema

UKOSEFU WA NGUVU ZA UMEME WAZIDI KUWAATHIRI WENYEJI WA UYOMBO KAUNTI YA KILIFI Read More »

WALIOSHINDWA KWENYE KIPUTE CHA KUWANIA UWAKILISHI WA WADI YS SHELLA WAHIMIZWA KUSHIRIKIANA NA ATWAA SALIM

Maafisa wa tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC kaunti ya Lamu wamewataka walioshindwa kwenye kipute cha uchaguzi mdogo wa wadi ya Shella kaunti ya Lamu kushirikiana vyema kwa manufaa ya wenyeji. Kulingana na afisa wa tume ya IEBC eneo bunge la Lamu Magharibi Isaiah Saha amewataka wale ambao walishindwa kwenye kipute hicho kuungana

WALIOSHINDWA KWENYE KIPUTE CHA KUWANIA UWAKILISHI WA WADI YS SHELLA WAHIMIZWA KUSHIRIKIANA NA ATWAA SALIM Read More »